Tuesday 21 August 2018

MTANGAZAJI WA REDIO ANTHONY TAMBALA AJIUNGA NA EBRU TV - Bonyeza Star



By Mkikuyu Mjaka


Habari zinazotufikia  sasa hivi ni kwamba mtangazaji hodari wa redio Anthony Tambala amejiunga na Tv maarufu ya Ebru.
Tambala ambaye pia aanatambulika kwa jina Producer Tony Touch atakuwa anaendesha program ya burudani katika Tv hiyo.


Anthony Tambala hapo awali amefanya kazi na redio mbalimbali nchini Kenya ikiwemo Radio Milambo ya Migori,Radio sahara Kisumu ,Raduio Furaha Meru na pia meneja wa broadcasting katika Mwariama House Broadcast.


Anthony vilevile ameweza kufanya kazi V.O.A  kama producer.
Tunamtakia kila la heri akijiandaa kuanza shuguli zake za kiburudani katika Tv hiyo.

No comments:

Post a Comment